Friday, October 15, 2010

MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI. AMEN.

Ukweli ni kwamba tulimpenda sana, lakini Muumba alimpenda zaidi na mapenzi yake ni lazima yatimie. Ni miezi miwili sasa tangu amefariki lakini machungu tuliyonayo kwa kuondoka kwake ni makubwa kama vile ametutoka jana. MUNGU amlaze mahala pema peponi mama yangu mpendwa. AMEN.
MAREHEMU MAMA YANGU (BI. HABIBA CHUGULO) WAKATI WA UHAI WAKE